3 Yeyote aliye katikati yenu ninyi watu wake wote, Mungu wake na awe pamoja naye.+ Basi na apande na kwenda Yerusalemu, huko Yuda, na kuijenga upya nyumba ya Yehova Mungu wa Israeli—yeye ndiye Mungu wa kweli+—iliyokuwa Yerusalemu.+
14 Yehova, Mkombozi wenu,+ Mtakatifu wa Israeli,+ amesema hivi: “Nitatuma ujumbe huko Babiloni kwa ajili yenu na kuyashusha mapingo ya magereza,+ na Wakaldayo katika meli kwa vilio vyao vya kulalamika.+
25 Lakini Yehova amesema hivi: “Hata kundi la mateka la mwanamume mwenye nguvu litachukuliwa,+ na wale waliokwisha kuchukuliwa na mwonevu wataponyoka.+ Nami nitashindana na mtu yeyote anayeshindana nawe,+ nami nitawaokoa wana wako.+