Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 19:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Maneno ya kinywa changu na kutafakari kwa moyo wangu+

      Na yawe yenye kupendeza mbele zako, Ee Yehova Mwamba+ wangu na Mkombozi wangu.+

  • Isaya 44:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Yehova, Mfalme wa Israeli+ na Mkombozi wake,+ Yehova wa majeshi, amesema hivi, ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho,+ na zaidi yangu hakuna Mungu.+

  • Isaya 63:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana wewe ni Baba yetu,+ ingawa huenda iwe Abrahamu mwenyewe hakutujua na huenda iwe Israeli mwenyewe asitutambue, wewe, Ee Yehova, ni Baba yetu. Mkombozi wetu wa zamani za kale ni jina lako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki