6 “Yehova, Mfalme wa Israeli+ na Mkombozi wake,+ Yehova wa majeshi, amesema hivi, ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho,+ na zaidi yangu hakuna Mungu.+
16 Kwa maana wewe ni Baba yetu,+ ingawa huenda iwe Abrahamu mwenyewe hakutujua na huenda iwe Israeli mwenyewe asitutambue, wewe, Ee Yehova, ni Baba yetu. Mkombozi wetu wa zamani za kale ni jina lako.+