Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Wewe—wewe umeonyeshwa, ili upate kujua kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli;+ hakuna mwingine isipokuwa yeye.+

  • Isaya 43:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Ninyi ni mashahidi wangu,”+ asema Yehova, “mtumishi wangu ambaye nimemchagua,+ ili mjue+ na kuwa na imani katika mimi,+ na ili mwelewe kwamba mimi ni Yeye yuleyule.+ Kabla yangu hakuna Mungu yeyote aliyefanyizwa,+ na baada yangu hapakuendelea kuwapo yeyote.+

  • Isaya 44:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Yehova, Mkombozi+ wako na Mfanyizaji wako tangu tumboni, amesema hivi: “Mimi, Yehova, ninafanya mambo yote, mimi peke yangu ninazitandaza mbingu,+ na kuitandaza dunia.+ Ni nani aliyekuwa pamoja nami?

  • Yeremia 16:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Je, mtu wa udongo anaweza kujifanyia miungu wakati hiyo si miungu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki