37 “Na hata hivyo unaendelea kuishi, kwa sababu aliwapenda mababu zako hivi kwamba akachagua uzao wao baada yao+ na kukuleta kutoka Misri mbele za macho yake kwa nguvu zake kuu,+
15 Ila Yehova alishikamana na mababu zako na kuwapenda, hivi kwamba akachagua uzao wao baada yao,+ naam, ninyi, kutoka kati ya vikundi vyote vya watu, kama ilivyo leo hii.
45 “Ni nani kwa kweli mtumwa mwaminifu na mwenye busara+ ambaye bwana wake alimweka rasmi juu ya watumishi wake wa nyumbani, awape chakula chao kwa wakati unaofaa?+
13 Hata hivyo, sisi tuna wajibu wa kumshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu, akina ndugu mnaopendwa na Yehova, kwa sababu Mungu aliwachagua+ ninyi tangu mwanzo kwa ajili ya wokovu kwa kuwatakasa+ ninyi kwa roho+ na kwa imani yenu katika kweli.+