Isaya 44:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Yehova, Mfalme wa Israeli+ na Mkombozi wake,+ Yehova wa majeshi, amesema hivi, ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho,+ na zaidi yangu hakuna Mungu.+ Isaya 45:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 ili watu wajue kutoka mashariki na kutoka magharibi ya kuwa hakuna yeyote mwingine zaidi yangu.+ Mimi ni Yehova, na hakuna mwingine yeyote.+ 1 Wakorintho 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+
6 “Yehova, Mfalme wa Israeli+ na Mkombozi wake,+ Yehova wa majeshi, amesema hivi, ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho,+ na zaidi yangu hakuna Mungu.+
6 ili watu wajue kutoka mashariki na kutoka magharibi ya kuwa hakuna yeyote mwingine zaidi yangu.+ Mimi ni Yehova, na hakuna mwingine yeyote.+
4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+