Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 17:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Leo Yehova atakutia mkononi mwangu,+ nami hakika nitakupiga na kukiondoa kichwa chako juu yako; nami leo nitawapa ndege wa mbinguni na wanyama-mwitu wa dunia mizoga ya kambi ya Wafilisti;+ na watu wa dunia yote watajua kwamba kuna Mungu aliye wa Israeli.+

  • Zaburi 102:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nayo mataifa yataogopa jina la Yehova,+

      Na wafalme wote wa dunia utukufu wako.+

  • Isaya 37:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na sasa, Ee Yehova Mungu wetu,+ utuokoe kutoka mkononi mwake,+ ili falme zote za dunia zijue kwamba wewe, Ee Yehova, ndiye Mungu peke yako.”+

  • Malaki 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Kwa maana tangu kuchomoza kwa jua mpaka kutua kwake jina langu litakuwa kuu kati ya mataifa,+ na kila mahali moshi wa dhabihu+ utafukizwa, toleo litafanywa kwa jina langu, pia zawadi safi;+ kwa kuwa jina langu litakuwa kuu kati ya mataifa,”+ Yehova wa majeshi amesema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki