Kumbukumbu la Torati 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na Yehova Mungu wako hakika atawatia hao mkononi mwako, nawe utawashinda.+ Unapaswa kuwaangamiza.+ Usifanye agano lolote pamoja nao wala kuwaonyesha kibali chochote.+ Kumbukumbu la Torati 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nawe unajua vema leo kwamba Yehova Mungu wako anavuka mbele yako.+ Yeye ni moto unaoteketeza.+ Atawaangamiza hao,+ na yeye mwenyewe atawatiisha mbele yenu; nanyi mtawafukuza na kuwaharibu haraka, kama vile ambavyo Yehova amesema nanyi.+ Yoshua 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndipo Yehova akamwambia Yoshua: “Usiwaogope,+ kwa maana nimewatia hao mkononi mwako.+ Hakuna mtu yeyote kati yao atakayesimama juu yako.”+
2 Na Yehova Mungu wako hakika atawatia hao mkononi mwako, nawe utawashinda.+ Unapaswa kuwaangamiza.+ Usifanye agano lolote pamoja nao wala kuwaonyesha kibali chochote.+
3 Nawe unajua vema leo kwamba Yehova Mungu wako anavuka mbele yako.+ Yeye ni moto unaoteketeza.+ Atawaangamiza hao,+ na yeye mwenyewe atawatiisha mbele yenu; nanyi mtawafukuza na kuwaharibu haraka, kama vile ambavyo Yehova amesema nanyi.+
8 Ndipo Yehova akamwambia Yoshua: “Usiwaogope,+ kwa maana nimewatia hao mkononi mwako.+ Hakuna mtu yeyote kati yao atakayesimama juu yako.”+