Zaburi 22:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Miisho yote ya dunia itakumbuka na kurudi kwa Yehova.+Na familia zote za mataifa zitainama mbele zako.+ Sefania 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana ndipo nitakapobadilisha lugha ya vikundi vya watu na kuwapa lugha safi,+ ili wote waliitie jina la Yehova,+ wamtumikie bega kwa bega.’+ Mathayo 28:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo nendeni mkafanye wanafunzi+ kutoka kwa watu wa mataifa yote,+ mkiwabatiza+ katika jina la Baba+ na la Mwana+ na la roho takatifu,+ Ufunuo 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe,+ Yehova,+ na kulitukuza jina lako,+ kwa sababu wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”+
27 Miisho yote ya dunia itakumbuka na kurudi kwa Yehova.+Na familia zote za mataifa zitainama mbele zako.+
9 Kwa maana ndipo nitakapobadilisha lugha ya vikundi vya watu na kuwapa lugha safi,+ ili wote waliitie jina la Yehova,+ wamtumikie bega kwa bega.’+
19 Kwa hiyo nendeni mkafanye wanafunzi+ kutoka kwa watu wa mataifa yote,+ mkiwabatiza+ katika jina la Baba+ na la Mwana+ na la roho takatifu,+
4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe,+ Yehova,+ na kulitukuza jina lako,+ kwa sababu wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”+