19 Nao wataanza kuliogopa jina la Yehova kutoka magharibi,+ na kutoka mashariki utukufu wake,+ kwa maana ataingia kama mto wenye kutaabisha, ambao roho ya Yehova imeuendesha.+
16 “Na itatukia kwamba, kila mtu atakayebaki wa mataifa yote yanayokuja juu ya Yerusalemu,+ watapanda pia mwaka baada ya mwaka+ ili kumwinamia Mfalme,+ Yehova wa majeshi,+ na kufanya sherehe ya vibanda.+