28 Na roho yake ni kama mto unaofurika ambao hufika mpaka shingoni,+ ili kuyarusha mataifa huku na huku kwa kichujio+ cha ubatili; na lijamu+ inayomfanya mtu kwenda huku na huku itakuwa katika taya za vikundi vya watu.+
6 Basi akajibu na kuniambia: “Hili ndilo neno la Yehova kwa Zerubabeli, akisema, “Si kwa jeshi,+ wala kwa nguvu,+ bali kwa roho yangu,”+ Yehova wa majeshi amesema.