4 Kwa hiyo, kwa kweli nitauacha moyo wa Farao uwe mkaidi,+ naye hakika atawafuatilia wao nami nitajipatia utukufu kupitia kwa Farao na majeshi yake yote;+ nao Wamisri watajua hakika kwamba mimi ni Yehova.”+ Basi wakafanya vivyo hivyo.
17 Yeye anayetoa gari la vita na farasi, jeshi na wenye nguvu wakati uleule:+ “Watalala chini.+ Hawataamka.+ Hakika watazimwa.+ Watazimwa kama utambi wa kitani.”+