Kutoka 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Naye Yehova akamwambia Musa: “Ukisha kwenda na kurudi Misri hakikisha umefanya miujiza yote ambayo nimeitia mkononi mwako mbele ya Farao.+ Mimi nami, nitauacha moyo wake uwe mkaidi;+ naye hatawaruhusu watu waende zao.+ Kutoka 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Bado, moyo wa Farao ukawa mkaidi,+ naye hakuwasikiliza, kama Yehova alivyokuwa amesema. Waroma 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hivyo basi, yeye humwonyesha rehema yule ambaye yeye anataka,+ lakini yeye ambaye anataka kumwacha humwacha awe mkaidi.+
21 Naye Yehova akamwambia Musa: “Ukisha kwenda na kurudi Misri hakikisha umefanya miujiza yote ambayo nimeitia mkononi mwako mbele ya Farao.+ Mimi nami, nitauacha moyo wake uwe mkaidi;+ naye hatawaruhusu watu waende zao.+
18 Hivyo basi, yeye humwonyesha rehema yule ambaye yeye anataka,+ lakini yeye ambaye anataka kumwacha humwacha awe mkaidi.+