Kutoka 7:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hata hivyo, makuhani wa Misri wenye kufanya uchawi wakafanya jambo hilo hilo kwa ufundi wao wa siri;+ hivi kwamba moyo wa Farao ukaendelea kuwa mkaidi,+ naye hakuwasikiliza, kama vile Yehova alivyokuwa amesema.+ Kutoka 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Farao alipoona kwamba kitulizo kilikuwa kimetokea, akaufanya moyo wake uwe mgumu;+ naye hakuwasikiliza wao, kama vile Yehova alivyokuwa amesema.+
22 Hata hivyo, makuhani wa Misri wenye kufanya uchawi wakafanya jambo hilo hilo kwa ufundi wao wa siri;+ hivi kwamba moyo wa Farao ukaendelea kuwa mkaidi,+ naye hakuwasikiliza, kama vile Yehova alivyokuwa amesema.+
15 Farao alipoona kwamba kitulizo kilikuwa kimetokea, akaufanya moyo wake uwe mgumu;+ naye hakuwasikiliza wao, kama vile Yehova alivyokuwa amesema.+