Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 7:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Hata hivyo, Farao pia aliwaita watu wenye hekima na walozi;+ na makuhani wa Misri wenye kufanya uchawi nao pia wakafanya jambo hilo hilo kwa ufundi wao wa uchawi.+

  • Kutoka 8:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hata hivyo, makuhani wenye kufanya uchawi wakafanya jambo hilo hilo kwa ufundi wao wa siri na kuwafanya vyura waje juu ya nchi ya Misri.+

  • Danieli 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na katika kila jambo la hekima na la uelewaji+ alilowauliza mfalme, akawaona kuwa bora mara kumi kuliko makuhani+ wote wenye kufanya uchawi na wafanya-mazingaombwe+ waliokuwa katika ufalme wake wote.

  • Matendo 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Sasa katika jiji hilo kulikuwa na mtu fulani aliyeitwa Simoni, ambaye, kabla ya hili, alikuwa akifanya ufundi wa uchawi+ na kushangaza taifa la Samaria, akisema yeye mwenyewe alikuwa mtu mkuu.+

  • 2 Wakorintho 11:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na si ajabu, kwa maana Shetani mwenyewe huendelea kujigeuza mwenyewe kuwa malaika wa nuru.+

  • 2 Timotheo 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi katika njia ambayo Yane na Yambre+ walimpinga Musa, vivyo hivyo hawa pia wanaendelea kuipinga kweli,+ watu walioharibika kabisa akilini,+ waliokataliwa kwa habari ya imani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki