11 Hata hivyo, Farao pia aliwaita watu wenye hekima na walozi;+ na makuhani wa Misri wenye kufanya uchawi nao pia wakafanya jambo hilo hilo kwa ufundi wao wa uchawi.+
20 Na katika kila jambo la hekima na la uelewaji+ alilowauliza mfalme, akawaona kuwa bora mara kumi kuliko makuhani+ wote wenye kufanya uchawi na wafanya-mazingaombwe+ waliokuwa katika ufalme wake wote.
9 Sasa katika jiji hilo kulikuwa na mtu fulani aliyeitwa Simoni, ambaye, kabla ya hili, alikuwa akifanya ufundi wa uchawi+ na kushangaza taifa la Samaria, akisema yeye mwenyewe alikuwa mtu mkuu.+
8 Basi katika njia ambayo Yane na Yambre+ walimpinga Musa, vivyo hivyo hawa pia wanaendelea kuipinga kweli,+ watu walioharibika kabisa akilini,+ waliokataliwa kwa habari ya imani.+