22 Hata hivyo, makuhani wa Misri wenye kufanya uchawi wakafanya jambo hilo hilo kwa ufundi wao wa siri;+ hivi kwamba moyo wa Farao ukaendelea kuwa mkaidi,+ naye hakuwasikiliza, kama vile Yehova alivyokuwa amesema.+
18 Nao makuhani wenye kufanya uchawi wakajaribu kufanya vivyo hivyo kwa ufundi wao wa siri,+ ili kutokeza chawa, lakini hawakuweza.+ Na chawa hao wakawa juu ya wanadamu na wanyama.
11 Nao makuhani wenye kufanya uchawi hawakuweza kusimama mbele ya Musa kutokana na majipu, kwa sababu makuhani hao na Wamisri wote walikuwa wamepata majipu hayo.+
9 Sasa katika jiji hilo kulikuwa na mtu fulani aliyeitwa Simoni, ambaye, kabla ya hili, alikuwa akifanya ufundi wa uchawi+ na kushangaza taifa la Samaria, akisema yeye mwenyewe alikuwa mtu mkuu.+