-
Danieli 2:10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 Wakaldayo wakajibu mbele ya mfalme, na kusema: “Hakuna binadamu yeyote juu ya nchi kavu anayeweza kuonyesha jambo hili la mfalme, kwa vile hakuna mfalme mkuu wala gavana ambaye amepata kuuliza jambo kama hili kutoka kwa kuhani yeyote mwenye kufanya uchawi, wala mfanya-mazingaombwe wala Mkaldayo.
-