Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 41:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ikawa kwamba asubuhi, roho yake ikafadhaika.+ Basi akawaita makuhani wote wenye kufanya uchawi wa Misri+ na watu wake wote wenye hekima,+ naye Farao akawasimulia ndoto zake.+ Lakini hakukuwa na yeyote aliyeweza kumtafsiria Farao ndoto hizo.

  • Danieli 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wakaldayo wakajibu mbele ya mfalme, na kusema: “Hakuna binadamu yeyote juu ya nchi kavu anayeweza kuonyesha jambo hili la mfalme, kwa vile hakuna mfalme mkuu wala gavana ambaye amepata kuuliza jambo kama hili kutoka kwa kuhani yeyote mwenye kufanya uchawi, wala mfanya-mazingaombwe wala Mkaldayo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki