2 Basi mfalme akaagiza waitwe makuhani wote wenye kufanya uchawi+ na wafanya-mazingaombwe na walozi na Wakaldayo ili wamwambie mfalme ndoto zake.+ Nao wakaingia na kusimama mbele ya mfalme.
7 “Ndipo makuhani wenye kufanya uchawi, wafanya-mazingaombwe, Wakaldayo+ na wanajimu+ walikuwa wanaingia; nami nikasema mbele yao ndoto ile ilikuwa nini, bali tafsiri yake hawakuniambia.+
8 Basi wakaingia watu wote wenye hekima wa mfalme, lakini hawakuwa na uwezo wa kutosha kuweza kusoma maandishi hayo wala kumwambia mfalme tafsiri yake.+