Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi mfalme akaagiza waitwe makuhani wote wenye kufanya uchawi+ na wafanya-mazingaombwe na walozi na Wakaldayo ili wamwambie mfalme ndoto zake.+ Nao wakaingia na kusimama mbele ya mfalme.

  • Danieli 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Ndipo makuhani wenye kufanya uchawi, wafanya-mazingaombwe, Wakaldayo+ na wanajimu+ walikuwa wanaingia; nami nikasema mbele yao ndoto ile ilikuwa nini, bali tafsiri yake hawakuniambia.+

  • Danieli 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi wakaingia watu wote wenye hekima wa mfalme, lakini hawakuwa na uwezo wa kutosha kuweza kusoma maandishi hayo wala kumwambia mfalme tafsiri yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki