13 Umechoka kwa wingi wa washauri wako. Na wasimame, sasa, na kukuokoa, wanaoabudu mbingu, watazamaji wa nyota,+ ambao kwenye miezi mipya wanajulisha habari za mambo yatakayokuja juu yako.
27 Danieli akajibu mbele ya mfalme na kusema: “Siri ambayo mfalme anauliza, watu wenye hekima, wala wafanya-mazingaombwe, wala makuhani wenye kufanya uchawi wala wanajimu hawawezi kumwonyesha mfalme.+