Danieli 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini jambo hili ambalo mfalme anauliza ni gumu, wala hakuna mtu mwingine yeyote anayeweza kulionyesha mbele ya mfalme isipokuwa miungu,+ ambao makao yao hayako kamwe pamoja na wenye mwili wa nyama.”+
11 Lakini jambo hili ambalo mfalme anauliza ni gumu, wala hakuna mtu mwingine yeyote anayeweza kulionyesha mbele ya mfalme isipokuwa miungu,+ ambao makao yao hayako kamwe pamoja na wenye mwili wa nyama.”+