2 Mambo ya Nyakati 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Lakini, je, kweli Mungu atakaa pamoja na wanadamu duniani?+ Tazama! Mbingu, ndiyo, mbingu za mbingu, haziwezi kukutosha;+ sembuse basi, nyumba hii ambayo nimeijenga!+
18 “Lakini, je, kweli Mungu atakaa pamoja na wanadamu duniani?+ Tazama! Mbingu, ndiyo, mbingu za mbingu, haziwezi kukutosha;+ sembuse basi, nyumba hii ambayo nimeijenga!+