2 Mambo ya Nyakati 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Lakini Ee Mungu, je, kweli utakaa duniani pamoja na wanadamu?+ Tazama! Mbingu, naam, mbingu za mbingu, haziwezi kukutosha;+ sembuse nyumba hii niliyoijenga!+
18 “Lakini Ee Mungu, je, kweli utakaa duniani pamoja na wanadamu?+ Tazama! Mbingu, naam, mbingu za mbingu, haziwezi kukutosha;+ sembuse nyumba hii niliyoijenga!+