6 Na ni nani anayeweza kumjengea nyumba? Kwa maana mbingu na mbingu za mbingu haziwezi kumtosha,+ basi mimi ni nani hivi kwamba nimjengee nyumba isipokuwa iwe mahali pa kufukizia moshi wa dhabihu mbele zake?
24 Mungu aliyeumba ulimwengu na vitu vyote vilivyomo, akiwa, kama alivyo, Bwana wa mbingu na dunia,+ hakai katika mahekalu yaliyotengenezwa kwa mikono;+