1 Wafalme 8:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Lakini Ee Mungu, je, kweli utakaa duniani?+ Tazama! Mbingu, naam, mbingu za mbingu, haziwezi kukutosha;+ sembuse nyumba hii niliyoijenga!+ Isaya 66:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 66 Yehova anasema hivi: “Mbingu ni kiti changu cha ufalme, na dunia ni kiti cha miguu yangu.+ Hivyo basi, iko wapi nyumba mnayoweza kunijengea,+Na pako wapi mahali pangu pa kupumzikia?”+ Matendo 17:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mungu aliyeumba ulimwengu na vitu vyote vilivyomo, akiwa, kama alivyo, Bwana wa mbingu na dunia,+ hakai katika mahekalu yaliyotengenezwa kwa mikono;+
27 “Lakini Ee Mungu, je, kweli utakaa duniani?+ Tazama! Mbingu, naam, mbingu za mbingu, haziwezi kukutosha;+ sembuse nyumba hii niliyoijenga!+
66 Yehova anasema hivi: “Mbingu ni kiti changu cha ufalme, na dunia ni kiti cha miguu yangu.+ Hivyo basi, iko wapi nyumba mnayoweza kunijengea,+Na pako wapi mahali pangu pa kupumzikia?”+
24 Mungu aliyeumba ulimwengu na vitu vyote vilivyomo, akiwa, kama alivyo, Bwana wa mbingu na dunia,+ hakai katika mahekalu yaliyotengenezwa kwa mikono;+