Zaburi 148:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na walisifu jina la Yehova,Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana lisiweze kufikiwa.+ Ukuu wake uko juu ya dunia na mbingu.+ Yeremia 23:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Je, mtu yeyote anaweza kujificha mahali pa siri ambapo siwezi kumwona?”+ auliza Yehova. “Je, mimi sizijazi mbingu na dunia?”+ auliza Yehova.
13 Na walisifu jina la Yehova,Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana lisiweze kufikiwa.+ Ukuu wake uko juu ya dunia na mbingu.+
24 “Je, mtu yeyote anaweza kujificha mahali pa siri ambapo siwezi kumwona?”+ auliza Yehova. “Je, mimi sizijazi mbingu na dunia?”+ auliza Yehova.