Zaburi 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee Yehova Bwana wetu, jinsi jina lako lilivyo kuu katika dunia yote;Umeweka fahari yako juu zaidi hata kuliko mbingu!*+ Isaya 12:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na siku hiyo mtasema: “Mshukuruni Yehova, liitieni jina lake,Yajulisheni mataifa matendo yake!+ Tangazeni kwamba jina lake limekwezwa.+
8 Ee Yehova Bwana wetu, jinsi jina lako lilivyo kuu katika dunia yote;Umeweka fahari yako juu zaidi hata kuliko mbingu!*+
4 Na siku hiyo mtasema: “Mshukuruni Yehova, liitieni jina lake,Yajulisheni mataifa matendo yake!+ Tangazeni kwamba jina lake limekwezwa.+