1 Wafalme 8:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Lakini Ee Mungu, je, kweli utakaa duniani?+ Tazama! Mbingu, naam, mbingu za mbingu, haziwezi kukutosha;+ sembuse nyumba hii niliyoijenga!+ Zaburi 104:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 104 Nafsi yangu na imsifu Yehova.+ Ee Yehova Mungu wangu, wewe ni mkuu sana.+ Umevaa utukufu* na fahari.+ Zaburi 148:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na walisifu jina la Yehova,Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana lisiweze kufikiwa.+ Ukuu wake uko juu ya dunia na mbingu.+
27 “Lakini Ee Mungu, je, kweli utakaa duniani?+ Tazama! Mbingu, naam, mbingu za mbingu, haziwezi kukutosha;+ sembuse nyumba hii niliyoijenga!+
104 Nafsi yangu na imsifu Yehova.+ Ee Yehova Mungu wangu, wewe ni mkuu sana.+ Umevaa utukufu* na fahari.+
13 Na walisifu jina la Yehova,Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana lisiweze kufikiwa.+ Ukuu wake uko juu ya dunia na mbingu.+