23 Nami nakusifu wewe na kukuhimidi,+ Ee Mungu wa mababu zangu, kwa maana umenipa mimi hekima+ na nguvu. Na sasa umenijulisha tulilokuomba, kwa kuwa umetujulisha jambo lile la mfalme.”+
28 Hata hivyo, kuna Mungu mbinguni ambaye ni Mfunuaji wa siri,+ naye amemjulisha Mfalme Nebukadneza mambo yatakayotokea katika siku za mwisho.+ Ndoto yako na maono ya kichwa chako kitandani mwako ndiyo haya:
47 Mfalme akamwambia Danieli: “Kwa kweli Mungu wenu ni Mungu wa miungu+ na Bwana wa wafalme+ na Mfunuaji wa siri, kwa sababu uliweza kufunua siri hii.”+