Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 41:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Kisha Farao akamwambia Yosefu: “Kwa kuwa Mungu amekuwezesha kuyajua yote hayo,+ hakuna mtu mwenye busara na mwenye hekima kama wewe.+

  • Danieli 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi Mungu wa kweli akawapa watoto hao wanne ujuzi na ufahamu katika maandishi na hekima yote;+ naye Danieli alikuwa akielewa maono na ndoto za aina zote.+

  • Danieli 2:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Hata hivyo, kuna Mungu mbinguni ambaye ni Mfunuaji wa siri,+ naye amemjulisha Mfalme Nebukadneza mambo yatakayotokea katika siku za mwisho.+ Ndoto yako na maono ya kichwa chako kitandani mwako ndiyo haya:

  • Danieli 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “ ‘Ee Belteshaza mkuu wa makuhani wenye kufanya uchawi,+ kwa kuwa mimi mwenyewe najua vema kwamba roho ya miungu mitakatifu imo ndani yako+ na kwamba hakuna siri yoyote ambayo inakusumbua,+ niambie maono ya ndoto yangu ambayo nimeona na tafsiri yake.+

  • Amosi 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya lolote isipokuwa awe amewafunulia watumishi wake manabii jambo lake la siri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki