Mwanzo 41:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Kwa hiyo Farao akawaambia watumishi wake: “Je, kwaweza kupatikana mtu mwingine kama huyu ambaye roho ya Mungu imo ndani yake?”+ Danieli 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi ikawa kwamba Danieli huyo akajipatia sifa+ juu ya wale maofisa wakuu na maliwali, kwa maana roho isiyo ya kawaida ilikuwa ndani yake;+ naye mfalme alikuwa anakusudia kumwinua juu ya ufalme wote.
38 Kwa hiyo Farao akawaambia watumishi wake: “Je, kwaweza kupatikana mtu mwingine kama huyu ambaye roho ya Mungu imo ndani yake?”+
3 Basi ikawa kwamba Danieli huyo akajipatia sifa+ juu ya wale maofisa wakuu na maliwali, kwa maana roho isiyo ya kawaida ilikuwa ndani yake;+ naye mfalme alikuwa anakusudia kumwinua juu ya ufalme wote.