Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 27:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa hiyo Yehova akamwambia Musa: “Jichukulie Yoshua mwana wa Nuni, mwanamume ambaye ndani yake mna roho,+ nawe utaweka mkono wako juu yake;+

  • Ayubu 32:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Hakika ni roho iliyo ndani ya wanadamu wanaoweza kufa

      Na pumzi ya Mweza-Yote ndiyo inayowapa wao uelewaji.+

  • Isaya 61:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 61 Roho ya Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova iko juu yangu,+ kwa sababu Yehova amenitia mafuta+ niwatangazie wapole habari njema.+ Amenituma kufunga majeraha ya waliovunjika moyo,+ kutangaza uhuru kwa wale waliochukuliwa mateka+ na kufunguliwa kabisa kwa macho hata kwa walio wafungwa;+

  • Danieli 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mwishowe Danieli akaingia mbele yangu, ambaye jina lake ni Belteshaza+ kulingana na jina la mungu wangu+ na ambaye ndani yake mna roho ya miungu mitakatifu;+ nami nikasema mbele yake ndoto ile:

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki