Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 11:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nami nitashuka chini+ na kusema nawe huko;+ nami nitaondoa sehemu ya roho+ iliyo juu yako na kuiweka juu yao, nao watakusaidia kuubeba mzigo wa watu ili usiubebe, wewe peke yako.+

  • Isaya 63:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na mtu akaanza kuzikumbuka siku za zamani za kale, Musa mtumishi wake: “Yuko wapi Yeye aliyewapandisha kutoka katika bahari+ pamoja na wachungaji wa kundi lake?+ Yuko wapi Yeye aliyetia ndani yake roho Yake takatifu?+

  • Danieli 4:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “ ‘Hiyo ndiyo ndoto ambayo mimi, Mfalme Nebukadneza, niliona; nawe, Ee Belteshaza, sema tafsiri yake, kwa maana watu wengine wote wenye hekima wa ufalme wangu wameshindwa kunijulisha tafsiri yake.+ Bali wewe una uwezo, kwa kuwa roho ya miungu mitakatifu imo ndani yako.’+

  • Danieli 4:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 hii ndiyo tafsiri, Ee mfalme, na amri+ ya Aliye Juu Zaidi+ ndiyo itakayompata bwana wangu mfalme.+

  • Danieli 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kuna mtu mwenye uwezo katika ufalme wako ambaye ndani yake mna roho ya miungu mitakatifu;+ na katika siku za baba yako nuru na ufahamu na hekima kama hekima ya miungu zilipatikana ndani yake, na baba yako mwenyewe, Mfalme Nebukadneza, akamweka awe mkuu+ wa makuhani wenye kufanya uchawi, na wafanya-mazingaombwe, na Wakaldayo na wanajimu, Ee mfalme;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki