15 Wakati wana wa manabii waliokuwa katika Yeriko walipomwona akiwa umbali fulani, wakaanza kusema: “Roho+ ya Eliya imetua juu ya Elisha.” Basi wakaja kumpokea, wakamwinamia.+
17 ‘ “Na katika siku za mwisho,” Mungu asema, “Nitaimimina sehemu ya roho yangu+ juu ya kila namna ya mwili, nao wana wenu na binti zenu watatoa unabii nao wanaume wenu vijana wataona maono na wazee wenu wataota ndoto;+