Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 11:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ndipo Yehova akashuka katika wingu,+ akasema naye,+ akachukua sehemu ya roho+ iliyokuwa juu yake na kuiweka juu ya kila mmoja wa wale wanaume wazee 70. Na ikawa kwamba mara tu roho hiyo ilipotua juu yao, ndipo wakaanza kutenda kama manabii; lakini hawakufanya hivyo tena.+

  • Hesabu 27:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nawe utatia sehemu ya utukufu wako juu yake,+ ili kusanyiko lote la wana wa Israeli lipate kumsikiliza yeye.+

  • 2 Wafalme 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na ikawa kwamba mara walipokuwa wamevuka, Eliya akamwambia Elisha: “Omba lile ninalopaswa kukutendea kabla sijachukuliwa kutoka kwako.”+ Naye Elisha akasema: “Tafadhali, sehemu mbili+ za roho+ yako zije kwangu.”+

  • Isaya 11:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na roho ya Yehova itatua juu yake,+ roho ya hekima+ na ya uelewaji,+ roho ya shauri na ya nguvu,+ roho ya ujuzi+ na ya kumwogopa Yehova;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki