Kumbukumbu la Torati 1:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Yoshua mwana wa Nuni, anayesimama mbele yako, ndiye atakayeingia humo.’+ Yeye amempa nguvu,+ kwa sababu atawafanya Israeli wairithi.) Kumbukumbu la Torati 31:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yehova Mungu wako ndiye anayevuka mbele yako.+ Yeye mwenyewe atayaangamiza mataifa haya kutoka mbele yako, na wewe lazima uyafukuzie mbali.+ Yoshua ndiye anayevuka mbele yako,+ kama alivyosema Yehova. Kumbukumbu la Torati 34:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini hajainuka kamwe nabii katika Israeli aliye kama Musa,+ ambaye Yehova alimjua uso kwa uso,+
38 Yoshua mwana wa Nuni, anayesimama mbele yako, ndiye atakayeingia humo.’+ Yeye amempa nguvu,+ kwa sababu atawafanya Israeli wairithi.)
3 Yehova Mungu wako ndiye anayevuka mbele yako.+ Yeye mwenyewe atayaangamiza mataifa haya kutoka mbele yako, na wewe lazima uyafukuzie mbali.+ Yoshua ndiye anayevuka mbele yako,+ kama alivyosema Yehova.