Kumbukumbu la Torati 18:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nabii kutoka katikati yako mwenyewe, kutoka kwa ndugu zako, kama mimi, ndiye ambaye Yehova Mungu wako atakuinulia—ninyi mnapaswa kumsikiliza yeye+— Matendo 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa kweli, Musa alisema, ‘Yehova Mungu atawainulia kutoka kati ya ndugu zenu nabii kama mimi.+ Msikilizeni huyo kulingana na mambo yote anayowaambia ninyi.+ Matendo 7:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 “Huyo ndiye Musa aliyewaambia wana wa Israeli, ‘Mungu atawainulia kutoka kati ya ndugu zenu nabii kama mimi.’+
15 Nabii kutoka katikati yako mwenyewe, kutoka kwa ndugu zako, kama mimi, ndiye ambaye Yehova Mungu wako atakuinulia—ninyi mnapaswa kumsikiliza yeye+—
22 Kwa kweli, Musa alisema, ‘Yehova Mungu atawainulia kutoka kati ya ndugu zenu nabii kama mimi.+ Msikilizeni huyo kulingana na mambo yote anayowaambia ninyi.+
37 “Huyo ndiye Musa aliyewaambia wana wa Israeli, ‘Mungu atawainulia kutoka kati ya ndugu zenu nabii kama mimi.’+