Kumbukumbu la Torati 18:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nitawainulia wao nabii kutoka katikati ya ndugu zao, kama wewe;+ nami nitaweka maneno yangu katika kinywa chake,+ naye atasema nao yote nitakayomwamuru.+ Matendo 7:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 “Huyo ndiye Musa aliyewaambia wana wa Israeli, ‘Mungu atawainulia kutoka kati ya ndugu zenu nabii kama mimi.’+
18 Nitawainulia wao nabii kutoka katikati ya ndugu zao, kama wewe;+ nami nitaweka maneno yangu katika kinywa chake,+ naye atasema nao yote nitakayomwamuru.+
37 “Huyo ndiye Musa aliyewaambia wana wa Israeli, ‘Mungu atawainulia kutoka kati ya ndugu zenu nabii kama mimi.’+