Yohana 12:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 kwa sababu sijasema kutokana na msukumo wangu mwenyewe, bali Baba mwenyewe aliyenituma amenipa amri kuhusu jambo la kutangaza na la kusema.+ Yohana 15:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Siwaiti ninyi tena watumwa, kwa sababu mtumwa hajui yale ambayo bwana wake anafanya. Lakini nimewaita ninyi rafiki,+ kwa sababu mambo yote ambayo nimeyasikia kutoka kwa Baba yangu nimewajulisha ninyi.+ Waebrania 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 mwishoni mwa siku hizi+ amesema nasi kupitia Mwana,+ aliyemweka rasmi kuwa mrithi wa vitu vyote,+ na ambaye kupitia yeye aliifanya+ mifumo ya mambo.
49 kwa sababu sijasema kutokana na msukumo wangu mwenyewe, bali Baba mwenyewe aliyenituma amenipa amri kuhusu jambo la kutangaza na la kusema.+
15 Siwaiti ninyi tena watumwa, kwa sababu mtumwa hajui yale ambayo bwana wake anafanya. Lakini nimewaita ninyi rafiki,+ kwa sababu mambo yote ambayo nimeyasikia kutoka kwa Baba yangu nimewajulisha ninyi.+
2 mwishoni mwa siku hizi+ amesema nasi kupitia Mwana,+ aliyemweka rasmi kuwa mrithi wa vitu vyote,+ na ambaye kupitia yeye aliifanya+ mifumo ya mambo.