Kutoka 33:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Pia ikatukia kwamba mara tu Musa alipokuwa ameingia ndani ya hema, ile nguzo ya wingu+ ilishuka chini, nayo ikasimama kwenye mwingilio wa hema na yeye akasema+ na Musa. Hesabu 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kisha Yehova akashuka katika nguzo ya wingu+ na kusimama kwenye mwingilio wa hema na kuwaita Haruni na Miriamu. Nao wakaenda nje. Kumbukumbu la Torati 31:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo Yehova akaonekana katika hema katika nguzo ya wingu, na hiyo nguzo ya wingu ikaanza kusimama kwenye mlango wa hema.+
9 Pia ikatukia kwamba mara tu Musa alipokuwa ameingia ndani ya hema, ile nguzo ya wingu+ ilishuka chini, nayo ikasimama kwenye mwingilio wa hema na yeye akasema+ na Musa.
5 Kisha Yehova akashuka katika nguzo ya wingu+ na kusimama kwenye mwingilio wa hema na kuwaita Haruni na Miriamu. Nao wakaenda nje.
15 Ndipo Yehova akaonekana katika hema katika nguzo ya wingu, na hiyo nguzo ya wingu ikaanza kusimama kwenye mlango wa hema.+