Hesabu 11:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nami nitashuka chini+ na kusema nawe huko;+ nami nitaondoa sehemu ya roho+ iliyo juu yako na kuiweka juu yao, nao watakusaidia kuubeba mzigo wa watu ili usiubebe, wewe peke yako.+ Hesabu 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kisha Yehova akashuka katika nguzo ya wingu+ na kusimama kwenye mwingilio wa hema na kuwaita Haruni na Miriamu. Nao wakaenda nje.
17 Nami nitashuka chini+ na kusema nawe huko;+ nami nitaondoa sehemu ya roho+ iliyo juu yako na kuiweka juu yao, nao watakusaidia kuubeba mzigo wa watu ili usiubebe, wewe peke yako.+
5 Kisha Yehova akashuka katika nguzo ya wingu+ na kusimama kwenye mwingilio wa hema na kuwaita Haruni na Miriamu. Nao wakaenda nje.