Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 17:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa hayo Mungu akamaliza kusema naye, akaenda zake juu kutoka kwa Abrahamu.+

  • Kutoka 19:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na wawe tayari kwa ajili ya siku ya tatu, kwa sababu katika siku ya tatu Yehova atashuka chini mbele ya macho ya watu wote juu ya Mlima Sinai.+

  • Kutoka 25:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nami nitakutokea hapo na kusema nawe toka juu ya kifuniko+ hicho, toka katikati ya wale makerubi wawili walio juu ya sanduku la ushuhuda, naam, yote nitakayokuamuru wewe kwa ajili ya wana wa Israeli.+

  • Kutoka 34:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Naye Yehova akashuka+ katika wingu, akasimama huko pamoja naye na kulitangaza jina la Yehova.+

  • Hesabu 12:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kisha Yehova akashuka katika nguzo ya wingu+ na kusimama kwenye mwingilio wa hema na kuwaita Haruni na Miriamu. Nao wakaenda nje.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki