Mwanzo 17:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa hayo Mungu akamaliza kusema naye, akaenda zake juu kutoka kwa Abrahamu.+ Kutoka 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na wawe tayari kwa ajili ya siku ya tatu, kwa sababu katika siku ya tatu Yehova atashuka chini mbele ya macho ya watu wote juu ya Mlima Sinai.+ Kutoka 25:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nami nitakutokea hapo na kusema nawe toka juu ya kifuniko+ hicho, toka katikati ya wale makerubi wawili walio juu ya sanduku la ushuhuda, naam, yote nitakayokuamuru wewe kwa ajili ya wana wa Israeli.+ Kutoka 34:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naye Yehova akashuka+ katika wingu, akasimama huko pamoja naye na kulitangaza jina la Yehova.+ Hesabu 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kisha Yehova akashuka katika nguzo ya wingu+ na kusimama kwenye mwingilio wa hema na kuwaita Haruni na Miriamu. Nao wakaenda nje.
11 Na wawe tayari kwa ajili ya siku ya tatu, kwa sababu katika siku ya tatu Yehova atashuka chini mbele ya macho ya watu wote juu ya Mlima Sinai.+
22 Nami nitakutokea hapo na kusema nawe toka juu ya kifuniko+ hicho, toka katikati ya wale makerubi wawili walio juu ya sanduku la ushuhuda, naam, yote nitakayokuamuru wewe kwa ajili ya wana wa Israeli.+
5 Kisha Yehova akashuka katika nguzo ya wingu+ na kusimama kwenye mwingilio wa hema na kuwaita Haruni na Miriamu. Nao wakaenda nje.