Kutoka 34:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naye Yehova akashuka+ katika wingu, akasimama huko pamoja naye na kulitangaza jina la Yehova.+ Kumbukumbu la Torati 33:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye akasema:“Yehova—alikuja kutoka Sinai,+Naye akamulika juu yao kutoka Seiri.+Aliangaza kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+Mashujaa wao kwenye mkono wake wa kuume.+ Zaburi 18:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye akaziinamisha mbingu, akashuka.+Na giza zito lilikuwa chini ya miguu yake.
2 Naye akasema:“Yehova—alikuja kutoka Sinai,+Naye akamulika juu yao kutoka Seiri.+Aliangaza kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+Mashujaa wao kwenye mkono wake wa kuume.+