2 Samweli 22:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Naye akaziinamisha mbingu, akashuka;+Na giza zito lilikuwa chini ya miguu yake.+ Zaburi 144:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ee Yehova, uinamishe mbingu zako ili upate kushuka;+Uiguse milima ipate kutoa moshi.+ Isaya 64:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 64 Laiti ungezipasua mbingu, ushuke chini,+ ili milima itetemeke kwa sababu yako,+