Zaburi 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na dunia ikaanza kutikisika na kutetemeka,+Nayo misingi ya milima ikasukasuka,+Nayo ikatikisika huku na huku kwa sababu alikuwa amekasirishwa.+ Zaburi 68:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Dunia ilitikisika,+Nayo mbingu pia ikadondoka maji kwa sababu ya Mungu;+Mlima huu Sinai ukatikisika kwa sababu ya Mungu,+ Mungu wa Israeli.+
7 Na dunia ikaanza kutikisika na kutetemeka,+Nayo misingi ya milima ikasukasuka,+Nayo ikatikisika huku na huku kwa sababu alikuwa amekasirishwa.+
8 Dunia ilitikisika,+Nayo mbingu pia ikadondoka maji kwa sababu ya Mungu;+Mlima huu Sinai ukatikisika kwa sababu ya Mungu,+ Mungu wa Israeli.+