Waamuzi 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova, ulipotoka Seiri,+Ulipopiga mwendo kutoka shamba la Edomu,+Dunia ilitikisika,+ mbingu pia zikatiririka maji,+Mawingu pia yakatiririka maji. Ezekieli 38:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na katika ukali wangu,+ katika moto wa ghadhabu yangu, nitalazimika kusema.+ Kwa kweli katika siku hiyo tetemeko kubwa litatukia katika nchi ya Israeli.+ Hagai 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Kwa maana Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Bado mara moja—ni kitambo kidogo+—nami nitatikisa mbingu na dunia na bahari na nchi kavu.’+
4 Yehova, ulipotoka Seiri,+Ulipopiga mwendo kutoka shamba la Edomu,+Dunia ilitikisika,+ mbingu pia zikatiririka maji,+Mawingu pia yakatiririka maji.
19 Na katika ukali wangu,+ katika moto wa ghadhabu yangu, nitalazimika kusema.+ Kwa kweli katika siku hiyo tetemeko kubwa litatukia katika nchi ya Israeli.+
6 “Kwa maana Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Bado mara moja—ni kitambo kidogo+—nami nitatikisa mbingu na dunia na bahari na nchi kavu.’+