Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 34:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na wale wote wa jeshi la mbingu wataoza. Na mbingu zitakunjwa,+ kama vile kitabu cha kukunjwa;+ na jeshi lao lote litanyauka, kama vile majani yanavyonyauka na kuanguka kutoka kwenye mzabibu na kama tini iliyonyauka na kuanguka kutoka kwenye mtini.+

  • Yeremia 4:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Niliiona milima, na, tazama! ilikuwa ikitikisika, na vilima vyote vilitetemeshwa.+

  • Yoeli 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na kutoka Sayuni Yehova atanguruma, kutoka Yerusalemu atatoa sauti yake.+ Na mbingu na dunia zitatikisika;+ bali Yehova atakuwa kimbilio kwa watu wake,+ na ngome kwa wana wa Israeli.+

  • Waebrania 12:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Wakati huo sauti yake iliitikisa dunia,+ lakini sasa ameahidi, akisema: “Bado mara moja tena nitaitikisa, si dunia peke yake, bali pia na mbingu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki