Zaburi 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+ Zaburi 50:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na uniite katika siku ya taabu.+Nitakuokoa, nawe utanitukuza.”+
2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+