Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 33:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na mara tu jambo hilo lilipomtaabisha,+ akautuliza uso wa Yehova Mungu wake,+ akaendelea kujinyenyekeza+ sana kwa sababu ya Mungu wa mababu zake.

  • Zaburi 77:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Katika siku ya taabu yangu nimemtafuta Yehova mwenyewe.+

      Usiku, mkono wangu umenyooshwa wala haufi ganzi;

      Nafsi yangu imekataa kufarijiwa.+

  • Zaburi 91:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ataniitia, nami nitamjibu.+

      Nitakuwa pamoja naye katika taabu.+

      Nitamwokoa na kumtukuza.+

  • Luka 22:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Lakini akaingia katika maumivu makali, akaendelea kusali kwa bidii zaidi;+ na jasho lake likawa kama matone ya damu yakianguka chini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki