2 Mambo ya Nyakati 33:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na mara tu jambo hilo lilipomtaabisha,+ akautuliza uso wa Yehova Mungu wake,+ akaendelea kujinyenyekeza+ sana kwa sababu ya Mungu wa mababu zake. Zaburi 77:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Katika siku ya taabu yangu nimemtafuta Yehova mwenyewe.+Usiku, mkono wangu umenyooshwa wala haufi ganzi;Nafsi yangu imekataa kufarijiwa.+ Zaburi 91:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ataniitia, nami nitamjibu.+Nitakuwa pamoja naye katika taabu.+Nitamwokoa na kumtukuza.+ Luka 22:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Lakini akaingia katika maumivu makali, akaendelea kusali kwa bidii zaidi;+ na jasho lake likawa kama matone ya damu yakianguka chini.+
12 Na mara tu jambo hilo lilipomtaabisha,+ akautuliza uso wa Yehova Mungu wake,+ akaendelea kujinyenyekeza+ sana kwa sababu ya Mungu wa mababu zake.
2 Katika siku ya taabu yangu nimemtafuta Yehova mwenyewe.+Usiku, mkono wangu umenyooshwa wala haufi ganzi;Nafsi yangu imekataa kufarijiwa.+
44 Lakini akaingia katika maumivu makali, akaendelea kusali kwa bidii zaidi;+ na jasho lake likawa kama matone ya damu yakianguka chini.+