26 Hata hivyo, Hezekia akajinyenyekeza+ kwa sababu ya majivuno ya moyo wake, yeye pamoja na wakaaji wa Yerusalemu, na ghadhabu ya Yehova haikuja juu yao katika siku za Hezekia.+
14 Ninawaambia ninyi, Mtu huyu alishuka kwenda nyumbani kwake akiwa amethibitishwa kuwa mwadilifu+ zaidi kuliko yule mwingine; kwa sababu kila mtu anayejiinua atafedheheshwa, bali yule anayejinyenyekeza atainuliwa.”+