2 Wafalme 20:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ndipo Hezekia akamwambia Isaya: “Neno la Yehova ambalo umesema ni jema.”+ Naye akaendelea kusema: “Je, sivyo, ikiwa amani na kweli+ zitaendelea kuwapo katika siku zangu?”+
19 Ndipo Hezekia akamwambia Isaya: “Neno la Yehova ambalo umesema ni jema.”+ Naye akaendelea kusema: “Je, sivyo, ikiwa amani na kweli+ zitaendelea kuwapo katika siku zangu?”+