Zaburi 39:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Niliendelea kuwa asiyeweza kusema;+ sikuweza kufungua kinywa changu,+Kwa maana wewe mwenyewe ulichukua hatua.+ Maombolezo 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ni kutokana na matendo ya fadhili zenye upendo+ za Yehova kwamba hatujaisha,+ kwa maana hakika rehema zake hazitakoma.+ Maombolezo 3:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Mambo mabaya na yaliyo mema hayatoki katika kinywa cha Aliye Juu Zaidi.+
9 Niliendelea kuwa asiyeweza kusema;+ sikuweza kufungua kinywa changu,+Kwa maana wewe mwenyewe ulichukua hatua.+
22 Ni kutokana na matendo ya fadhili zenye upendo+ za Yehova kwamba hatujaisha,+ kwa maana hakika rehema zake hazitakoma.+